mabingwa watetezi wa kombe la mataifa la ulaya EURO2020 ureno wameondolewa katika hatua ya kumi na sita Bora ya mashindano. Mara baada y...
mabingwa watetezi wa kombe la mataifa la ulaya EURO2020 ureno wameondolewa katika hatua ya kumi na sita Bora ya mashindano.
Mara baada ya kuikubali kichapo Cha bao moja kwa bila kutoka kwa timu ya taifa ya ubelgiji Gori lililofungwa na T hazard katika kipindi Cha kwanza Cha mchezo huo.licha ya ureno kuweka jitihada kubwa Sana ya kutaka kusawazisha katika kipindi lakini bado jitihada hizo hazikufua dafu na mpira kumalizika kwa matokeo ya 1-0.Ureno ilifika katika hatua ya kumi na sita Bora kwa best looser Mara baada ya kumaliza hatua ya makundi wakiwa na alama 4 kundi ambalo lilikuwa na timu za ujerumani ufaransa pamoja na Hungary.katika kundi timu zingine zilizofika hatua ya kumi na sita Bora Ni ufaransa aliyemaliza akiwa na alama 5 na ujerumani aliyemaliza akiwa na alama 4
.


COMMENTS