For minds that question, explore, and want more. We go beyond the surface to bring you facts, context, and clarity. Welcome to the truth zone. #FahamuZaidi

TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA

Karibu Sana katika sports updates za fahamu zaidi channel leo ikiwa Ni  ALHAMIS 21-Oct-2021  Tutaangazia tetesi za usajili barani ulaya  ✍️k...

Karibu Sana katika sports updates za fahamu zaidi channel leo ikiwa Ni  ALHAMIS 21-Oct-2021 

Tutaangazia tetesi za usajili barani ulaya 



✍️kwa mujibu wa mtandao wa Goal Mshambuliaji wa Argentina na Juventus Paul Dybala,27, anakaribia kusaini mkataba mpya  wa muda mrefu kuendelea kuitumikia klabu yake ya Juventus. 



lakini pia kwa mujibu wa sun Baada ya Newcastle kuachana na kocha wao Steve Bruce,Inaripotiwa Antonio Conte amekataa nafasi ya kuwa kocha mpya wa Newcastle na kuisubiri nafasi ya kuwa kocha mpya wa ManUtd kama itatokea hapo mbeleni 


Orodha ya wagombea wa kuchukua nafasi ya Bruce huko Newcastle United sasa imebaki na Eddie Howe, Paulo Fonseca na Lucien Favre, ambao kila mmoja alifanya mazungumzo ya awali na klabu wiki iliyopita. 






✍️Chelsea wako tayari kumfanya kiungo wa England Mason Mount,22, kuwa mmoja wa wanaolipwa kipato cha juu wakati klabu ikijiandaa kufungua mazungumzo ya mkataba mpya na mchezaji huyo.




✍️ Mshambuliaji wa Spain Ansu Fati, 18, anakaribia kusaini mkataba mpya wa muda mrefu na Barcelona ambao utakua na Kifungu Cha kuachiliwa(Release Clause) cha €1B (£846M) sawa  mwenzake Mhispania Pedri, 18.



✍️Beki wa kulia wa atletico Madrid na England Kieran Trippier, 31, ambaye alikuwa akihusishwa sana na kuhamia Man Utd msimu wa joto, amesema "angependa" kucheza kwenye Ligi ya EPL tena. (Mirror)


✍️Bosi wa ManUtd Ole Gunnar Solskjaer atatafuta kuondoa wachezaji wasiopungua watano kutoka kikosi chake wakati wa dirisha dogo la uhamisho litakapofunguliwa mnamo Januari. (Sun)



✍️Liverpool, Borussia Dortmund au RB Leipzig watalazimika kulipa kati ya €30M hadi ​​€40M kumsaini mshambuliaji wa RB Salzburg na Ujerumani Karim Adeyemi, 19..(ORF -in Germany)


Wamiliki wapya wa Newcastle United bado hawajawasiliana na meneja Steve Bruce baada ya kipigo kutoka Tottenham Hotspur siku ya Jumapili wakiwa uwanja wa nyumbani. (Star) in



COMMENTS

Name

campus life.,3,Habari,11,kimataifa,4,Kitaifa,3,Makala,2,Michezo,14,Sports & Artist,11,
ltr
item
FAHAMU ZAIDI MEDIA: TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA
TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiEXk7vLkLKlOz6JF50uSzWpYiwel0EBKjmbn-3w6FlCJbc107-gGosDemA1TZ09noo8RcZk8Y-4lmoISkk5hxkqY1QflhEF8zi1GV5h1RSpreSwGwAzLnhae9wPQDcAjUis26uR172ZE66NLvf5r5uJ1bxXT8IvsCPCcYVyhm1_RNBnrar0KLbjVcq=s320
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiEXk7vLkLKlOz6JF50uSzWpYiwel0EBKjmbn-3w6FlCJbc107-gGosDemA1TZ09noo8RcZk8Y-4lmoISkk5hxkqY1QflhEF8zi1GV5h1RSpreSwGwAzLnhae9wPQDcAjUis26uR172ZE66NLvf5r5uJ1bxXT8IvsCPCcYVyhm1_RNBnrar0KLbjVcq=s72-c
FAHAMU ZAIDI MEDIA
https://fahamuzaidimedia.blogspot.com/2021/10/tetesi-za-soka-barani-ulaya.html
https://fahamuzaidimedia.blogspot.com/
https://fahamuzaidimedia.blogspot.com/
https://fahamuzaidimedia.blogspot.com/2021/10/tetesi-za-soka-barani-ulaya.html
true
8412271387195166015
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy