Raisi wa Burundi General Evariste Ndayishimiye ameagiza kufukuzwa kazi maofisa wa serikali walio na ndoa lakini wakabainika kuwa na nyumba...
Raisi wa Burundi General Evariste Ndayishimiye ameagiza kufukuzwa kazi maofisa wa serikali walio na ndoa lakini wakabainika kuwa na nyumba ndogo au michepuko.
Ndayishimiye amesema ameapa kulinda maadili ya taifa Hilo akianza na waganyakazi wa serikali.
Kwa upande mwingine Ndayishimiye amebainisha kuwa uchunguzi uliofanyika kwa Siri umebaini maafisa wengi serikalini Wana mahusiano nje ya ndoa zao kinyume na Sheria za nchi na mpango wa MUNGU
"Lazima tuwe na taifa lenye adabu familia zinateseka kwa sababu ya ujinga wa wasomi wajinga,mtaona list na barua za kukurudisha kwenu ukafanye upuuzi huko kijijini" alisema Ndayishimiye
COMMENTS