For minds that question, explore, and want more. We go beyond the surface to bring you facts, context, and clarity. Welcome to the truth zone. #FahamuZaidi

Maoni ya watanzania kwa mbunge kuhusu hoja ya ufinyu wa posho

Fahamuzaidimedia #Maoni ya wajumbe #Bungeni

 Wananchi Watoa maoni kuhusu hoja ya mbunge mbunge kuwa posho, mishahara yao haitoishi.

Wakitoa maoni yao katika mtandao wa kijamii wa Instagram wa Mwananchi  ulioweka habari hiyo na video ya mbunge huyo akieleza hali ngumu ya wabunge, baadhi ya watu hao wamemtaka mbunge huyo kuachana na kazi hiyo ya uwakilishi wa wananchi kama anaona haina maslahi.

Mbunge huyo aliyasema hayo Jumatatu Juni 21, 2021 bungeni mjini Dodoma wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22, akiwataka wabunge wenzake kuwaambia ukweli wananchi.

 “Kama hazitoshi ajiuzulu ubunge arudi kwenye kazi yake ya awali,” ameamdika Langoon_Sanmorino.

Kauli hiyo imeungwa mkono na Tairo.Florianofficial akisema, “kawaida pesa haijawahi kutosha...,kwenu ndugu wananchi.”

Naye Emanuelyjaphet6790 amesema kauli hiyo ni dalili la ombwe la wabunge wa upinzani bungeni, “bila shaka tutajua umuhimu wa upinzani inawezekana tulikuwa hatuelewi hivi mtu analipwa milioni 12 na bado hazitoshi na mwalimu anayelipwa 400,000 asemeje? Du! Ama kweli.”

Wakati Jk_shoot_it akidai kuwa mshahara wa mbunge ni sawa na mtaji wa kijana mtaani, Nasra7162 amesema,“ndio tabu yakuchagua wabunge masikini, njaa ndio zinawapeleka bungeni wapo kuwaza mishahara na sio kutatua shida za wananchi waliowapigia kura.”

Je wewe maoni yako ni yapi ...? Toa maoni yako @Fahamu Zaidi media na usisahau ku subscribe YouTube channel yetu @Fahamu zaidi channel 


COMMENTS

Name

campus life.,3,Habari,11,kimataifa,4,Kitaifa,3,Makala,2,Michezo,14,Sports & Artist,11,
ltr
item
FAHAMU ZAIDI MEDIA: Maoni ya watanzania kwa mbunge kuhusu hoja ya ufinyu wa posho
Maoni ya watanzania kwa mbunge kuhusu hoja ya ufinyu wa posho
Fahamuzaidimedia #Maoni ya wajumbe #Bungeni
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjUTXaKLG_9MNaYt5rEMOrcEN8LBjw60N-M6n2BNd_jqcTH0_xLan05QMigjU5HGzn9WByXN9aoLNdWSr5CFWowxrhphs1Y5ToevxgaEU_rNSg61i1uPjt_NRBfsTfu7PdUeu9NDc9YIyHE/s320/pic-bunge-data.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjUTXaKLG_9MNaYt5rEMOrcEN8LBjw60N-M6n2BNd_jqcTH0_xLan05QMigjU5HGzn9WByXN9aoLNdWSr5CFWowxrhphs1Y5ToevxgaEU_rNSg61i1uPjt_NRBfsTfu7PdUeu9NDc9YIyHE/s72-c/pic-bunge-data.jpg
FAHAMU ZAIDI MEDIA
https://fahamuzaidimedia.blogspot.com/2021/06/maoni-ya-watanzania-kwa-mjumbe-kuhusu.html
https://fahamuzaidimedia.blogspot.com/
https://fahamuzaidimedia.blogspot.com/
https://fahamuzaidimedia.blogspot.com/2021/06/maoni-ya-watanzania-kwa-mjumbe-kuhusu.html
true
8412271387195166015
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy