Hii Ni Mara baada ya kumtoa hispania kwa mikwaju ya penati Ilikuwa Kama masihara lakini ndo ikawa kweli.Ndiyo Italia Sasa wametinga fainali...
Hii Ni Mara baada ya kumtoa hispania kwa mikwaju ya penati
Ilikuwa Kama masihara lakini ndo ikawa kweli.Ndiyo Italia Sasa wametinga fainali katika kombe la EURO 2020 Hii Ni marabaada ya kuibuka na ushindi katika mchezo wa nusu fainali dhidi ya Hispania.Mchezo huo uliolazimika kuamuliwa kwa mikwaju ya penati Mara baada ya dakika 120 kutotoa mshindi wa kutinga fainali. Dakika 90 zilikamilika kwa matokeo ya 1-1 licha ya kuongezwa dakika 30 lakini bado ngoma haikutikisika Hadi pale yalipoamuliwa matuta .Hispania walikosa mikwaju miwili ya penati na kufanya mchezo kuisha kwa penati 4-2.Sasa Italia inasubili nusu Fainali ya pili Kati ya England na Denmark ili kujua Nani wa kucheza nae fainali
JE NI DENMARK AU ENGLAND Nani atakutana na Italia Fainali


COMMENTS