Biden atatoa kiasi cha dola 100 za kimarekani kwa kila mtu atakaye kubali kuchanjwa Rais wa marekani Joe Biden ameahidi kuwalipa wananchi ...
Biden atatoa kiasi cha dola 100 za kimarekani kwa kila mtu atakaye kubali kuchanjwa
Rais wa marekani Joe Biden ameahidi kuwalipa wananchi wa majimbo yote kiasi cha dola 100 kwa kila mmoja ambaye atakubali kuchanjwa
uamuzi huo umekuja Mara baada ya kuonekana kusuasua kwa chanjo kutokana na wananchi kutojitokeza kwa wingi kupokea chanjo hiyo
Biden amesema anafanya hivo ili kuwapa wananchi wake hamasa ya kupokea ili kukulinda na virusi vipya vya Delta ambavyo vimeonekana kusumbua Sana serikali ya marekani
Aidha Biden amesisitiza kuwa wafanya kazi wote wanapaswa kuonyesha uthibitisho wa chanjo Kama sivyo Basi wawekewe vizuizi katika mambo mbalimbali yakiwemo ya usafiri

COMMENTS