Timu ya taifa ya uholanzi imeondolewa katika mashindano ya Mataifa ya ulaya usiku wa jana mara baada ya kupokea kichapo cha mabao mawili k...
Timu ya taifa ya uholanzi imeondolewa katika mashindano ya Mataifa ya ulaya usiku wa jana mara baada ya kupokea kichapo cha mabao mawili kutoka kwa Czech republic.
mchezo huo ambao kipindi cha kwanza kilimalizika kwa timu zote kutoshana nguvu bila ya kufungana.kpindi cha pili kilianza kwa kasi na klabu ya uholanzi kupata pigo mara baada ya mchezaji wao delight kuonyesha kadi nyekundu katika dakika ya 55 hali iliyoifanya uholanzi izidi kulemewa na kunako dakika ya 68 Thomas holes wa Czech aliipatia timu bao la kuongoza na dakika ya 80 Czech ilipata bao la pili kupitia mchezaje wake Schick na kuwaondoa kabisa uholanzi mashindanoni.kwa hivyo Czech watakutana na Denmark katika hatua ya robo fainali.


COMMENTS