Naweza sema hivo kwamba Ni Messi vs Neymar. Hii Ni Mara baada ya Argentina kuibuka na ushindi dhidi ya Peru kwa mikwaju ya penati katika nus...
Naweza sema hivo kwamba Ni Messi vs Neymar.
Hii Ni Mara baada ya Argentina kuibuka na ushindi dhidi ya Peru kwa mikwaju ya penati katika nusu fainali ya pili.
Argentina itakutana na Brazil katika mtanange wa Fainali kwani Brazil wao walijikatia tiketi hapo Jana marabaada ya kupata ushindi mwembamba wa bao moja kwa bila dhidi ya Peru sasa rasmi fainali itachezwa katika ya miamba miwili Brazil na Argentina huku Neymar huku Messi.
Fainali hii itakuwa kivutio kikubwa Sana kwani inawakutanisha mastaa wawili waliowahi kucheza pamoja pale Barcelona Ni Neymar da Silva pamoja Ni Lionel Messi
Nani kuibuka BINGWA WA COPA AMERICA?


COMMENTS