For minds that question, explore, and want more. We go beyond the surface to bring you facts, context, and clarity. Welcome to the truth zone. #FahamuZaidi

SIMBA,YANGA ZAPIGWA FAINI KISA FAINALI FA

Simba na yanga zatakiwa kulipa faini  milioni sita kwa kila timu huku mukoko na Morrison wakifungiwa kutocheza michezo mitatu klabu kubwa na...


Simba na yanga zatakiwa kulipa faini  milioni sita kwa kila timu huku mukoko na Morrison wakifungiwa kutocheza michezo mitatu

klabu kubwa na kongwe Tanzania Simba na yanga leo hii zimepewa adhabu mbalimbali zikiwemo kiasi cha fedha milioni sita kwa kila timu  kutokana na makosa mbalimbali waliyoyafanya wakati wa mchezo wa Fainali ya Azam sport Federation cup ulipofanyika jumapili ya mwezi julai tar 25 ambapo Simba aliibuka na ubingwa Mara baada ya kuifunga yanga Goli moja kwa Sifuri


Adhabu hizo zimetolewa na bodi ya ligi Tanzania TPBL kwa kuzingatia vifungu mbalimbali vya sheria vilivyovunjwa na timu hizo siku ya Fainali


Simba imepigwa faini ya milioni mbili kwa kosa la viongozi na mashabiki kulazimisha kuingia uwanjani wakati wa mazoezi maalumu ya timu hizo hali iliyopelekea uharibifu  wa miundo mbinu huku mchezaji wao Bernad Morrison akipigwa faini ya million tatu na kufungiwa michezo mitatu katika timu hiyo kwa kosa la utovu wa nidhamu Mara baada ya kuvua bukta wakati wa mchezo huo lakini pia Simba imepigwa faini ya laki tano tano kwa makosa mawili yaloyosababishwa na utovu wa nidhamu kwa wachezaji wake likiwemo la kutofuata utaratibu wakati wa uvaaji wa medali katika mchezo huo


Huku yanga wakiadhibiwa kutokana na makosa mbalimbali Kama vile ,kosa la mukoko kumpiga bocco ambapo mchezaji huyo ameadhibiwa kutocheza michezo mitatu na faini ya laki tano lakini pia kipa farouk shikhalo na kocha  nabi wapegwa faini ya laki tano tano kwa kila mmoja 

Sanjali na hayo yanga pia imeadhibiwa  faini ya  shilingi million moja  kwa kutofuata  utaratibu wakati wa kuingia uwanjani kwa kuingilia mlango wa mashabiki huku adhabu nyingine Ni kosa la mashabiki kuwarushia chupa waaamuzi wa mchezo

Pamoja na makosa mengine yaliyopelekea kufikia kiasi cha Milioni sita kwa timu hiyo

COMMENTS

Name

campus life.,3,Habari,11,kimataifa,4,Kitaifa,3,Makala,2,Michezo,14,Sports & Artist,11,
ltr
item
FAHAMU ZAIDI MEDIA: SIMBA,YANGA ZAPIGWA FAINI KISA FAINALI FA
SIMBA,YANGA ZAPIGWA FAINI KISA FAINALI FA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhO4OkM50TyQHgjWPpldtb3jAkcX2zI07JHZDfO7OxHdsSJkNCDo1KCxS6vauwwqdKscXzuq7vFNxOtXpW857O1l9TBO0uvLnE8up5K1TD8wb4lmtxt3iAA9nJmTEn8vEpVaWKui84U5IA/s320/simba-sc-vs-yanga-sc-derby-in-tanzania_eja3vuzv30ps1aw8dyexsv172.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhO4OkM50TyQHgjWPpldtb3jAkcX2zI07JHZDfO7OxHdsSJkNCDo1KCxS6vauwwqdKscXzuq7vFNxOtXpW857O1l9TBO0uvLnE8up5K1TD8wb4lmtxt3iAA9nJmTEn8vEpVaWKui84U5IA/s72-c/simba-sc-vs-yanga-sc-derby-in-tanzania_eja3vuzv30ps1aw8dyexsv172.jpg
FAHAMU ZAIDI MEDIA
https://fahamuzaidimedia.blogspot.com/2021/07/simbayanga-zapigwa-faini-kisa-fainali-fa.html
https://fahamuzaidimedia.blogspot.com/
https://fahamuzaidimedia.blogspot.com/
https://fahamuzaidimedia.blogspot.com/2021/07/simbayanga-zapigwa-faini-kisa-fainali-fa.html
true
8412271387195166015
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy