Mahakama ya usuluhishi ya shirikisho la soka duniani CAS wameeahirisha kutoa uamuzi wa kesi ya yanga dhidi ya Morrison Hadi tarehe 26 okt...
Mahakama ya usuluhishi ya shirikisho la soka duniani CAS wameeahirisha kutoa uamuzi wa kesi ya yanga dhidi ya Morrison Hadi tarehe 26 oktoba.
Aidha uamuzi huo awali ilitakiwa kutolewa leo tarehe 21 September kabla ya kuaihirishwa na kupekwa mbele akizungumza na waandishi wa habari
mmoja wa mawakili wanaoiwakilisha yanga CAS ALEX MGONGOLWA amesema kuwa amepokea taarifa hiyo kutoka CAS kuwa maamuzi ya kesi yao kutolewa oktoba 26
"siku zote ukiona hukumu inasogezwa mbele hivo Basi mleta shauri ana hoja ndio Mana inakuwa hivo kwa hiyo tunaendelea kusubilia" alisema Alex

COMMENTS