Jina lake kamili anaitwa mtoni Tito Paul mhitimu wa shahada ya awali ya elimu jamii katika takwimu yaan B.A in statistics ndiye aliyewek...
Jina lake kamili anaitwa mtoni Tito Paul mhitimu wa shahada ya awali ya elimu jamii katika takwimu yaan B.A in statistics ndiye aliyeweka rekodi ya kuwa mhitimu mwenye GPA kubwa kuwahi kutokea chuo kikuu Cha Dar es salama GPA ya 4.8.
Tito alipewa zawadi ya kuwa mwanafunzi Bora katika mahafari ya duru ya tatu ya chuo kikuu Cha Dar es salam iliyofanyika majuzi chuoni hapo ambapo alitajwa Kama mwanafunzi Bora wa duru zote za mahafari.
Fz channel tunafanya utaratibu wa kufanya nae mahojiano kujua Siri ya mafanikio yake usisahau kusubscribe channel yetu fahamu zaidi channel for more updates
COMMENTS