Pigo kwa Barcelona Aliyekuwa Mshambuliaji wa timu ya Manchester city na Barcelona pamoja na timu ya taifa ya Argentina kun AGUERO amelazimi...
Pigo kwa Barcelona
Aliyekuwa Mshambuliaji wa timu ya Manchester city na Barcelona pamoja na timu ya taifa ya Argentina kun AGUERO amelazimika kuachana na soka kutokana na matatizo ya Moyo yaliyomsibu siku za hivi karibuni.
AGUERO ameshindwa kufanya vizuri katika klabu yake mpya ya Barcelona tangu alipojiunga nayo akitokea Manchester city alikotengeneza rekodi kibao katika klabu hiyo na EPL kwa ujumla
COMMENTS